Posts

Showing posts from August, 2010

Basilio Matei, RPC - Arusha

Image
Kwa jina ni Afande Basilio Matei , Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha. penye ukweli lazima pawekwe wazi, hivi karibuni nilikuwa arusha na katika pitapita zangu mitaani, huyo kamanda alipita na gari lake. kina mama niliokuwa nao pale mitaa ya sanawari wakaanza na zao; " jamani baba huyu ana roho nzuri, mchapakazi, ana utu, mpole na mnyenyekevu utadhani siyo polisi ..." mwingine akamalizia; " tena handsome " kisha wakamalizia kwa kicheko maarufu cha heheheeeee... uuuuuuwih ! nami nikajikuta natabasamu. Hongera kamanda Matei. mie simo. nawasilisha. Habari na Picha kutoka JamiiForum.

Tompson Gazelle wa ajabu...

Image
When Paolo Torchio set out across Kenya's Masai Mara National Reserve a few weeks ago, it was just a typical Thursday morning for the veteran wildlife photographer, who has lived and worked in Kenya for two decades. Torchio is intimately acquainted with the beasts that wander the nearly 600-square-mile game reserve, so he was astonished to see a terrier's face poking out of the tall grass. "I was wondering, what is this dog doing?" Torchio said. "And when it came out from the grass, that was a surprise." The hirsute creature that emerged was clearly not a dog . The animal had all the markings of a Thomson's gazelle (a type of antelope) — but, like that old song from "Sesame Street," one of these kids was not like the others. This animal was covered with a strange, thick coat of hair, in stark contrast to the sleek Thomson's gazelles in its company. "The funny aspect was that it wasn't affecting the relations with the other

The teenage girl who is allergic to WATER

Image
Teenager Ashleigh Morris can't go swimming, soak in a hot bath or enjoy a shower after a stressful day's work - she's allergic to water. Even sweating brings the 19-year-old out in a painful rash. Ashleigh, from Melbourne, Australia, is allergic to water of any temperature, a condition she's lived with since she was 14. Ashleigh, 19, has been allergic to water for five years She suffers from an extremely rare skin disorder called Aquagenic Urticaria - so unusual that only a handful of cases are documented worldwide. When Ashleigh gets wet her body explodes in sore, itchy red lumps that take about two hours to ease. She has to wash. But showering is a painful experience and she can only do it for a minute at a time. These brief showers are the only contact Ashleigh has with water. The one thing she doesn't miss is the washing up. "People find it hard to believe, they say things like 'Oh my god, how do you wash. The rash Ashleigh gets a

Kuwa meneja bora wa ICT

Kipindi nipo chuo kikuu nimewahi kushiriki au kuongoza project mbalimbali za IT na zisizo za IT,kuna baadhi ya project hakuna mtu aliyewahi kudhani kuwa inaweza kufanikiwa,hii ni kutokana na ugumu wake. Kwa kipindi hicho chote nimekuwa nikipata mafunzo mengi ya jinsi gani ya kuwa manager mzuri sio tu wa IT bali hata nyanza nyingine mbalimbali.Kitu kikubwa sana nilichojifunza ni jinsi gani ya kuchagua watu husika(right people) kwa project husika,jinsi ya kumaliza kazi kwa wakati ndani ya bajeti nk.Kuwa manager mzuri mara nyingi inategemea sana ni jinsi gani unavyoshirikiana na wana member wako. Kitu kikubwa nilichojifunza nikiwa China ni kuwa bosi ataendelea kuwa bosi na mfanyakazi ataendelea kuwa mfanyakazi ila kati yao mahusiano ni mazuri mno,bosi hana kujidai au kudharau walio chini yake,ukiwa nje ya ofisi ya bosi kuna kipindi unaweza usijue nani ni bosi,hawana yale mambo ya mimi ni bosi bwana.Hii inasaidia sana na kuongeza malali wa wafanyakazi.Hivyo basi leo hii nitakupa mam

Wachina noma...

Image
Jina la piki piki sasa...

5 Years old Indian girl... Name withheld

Image
Dogo anapenda menu kinoma... hao ni wenzake wa umri kama wake (miaka mitano) lakini cheki alivyo-waacha kwa umbo...

What's seven hundred & ten...

Image
A few days ago I was having some work done at my local garage. A blonde came in and asked for a seven hundred & ten. We all looked at each other and another customer asked, 'What is a seven hundred & ten?' She replied, 'You know, the little piece in the middle of the engine, I have lost it and need a new one..' She replied that she did not know exactly what it was, but this piece had always been there. The mechanic gave her a piece of paper and a pen and asked her to draw what the piece looked like. She drew a circle and in the middle of it wrote 710. He then took her over to another car which had its hood up and asked 'is there a 710 on this car?' She pointed and said, 'Of course, its right there.' If you're not sure what a 710 is, the picture above details!

Historia ya Kompyuta... way back 1844

Image
This picture was taken in 1956... It's a hard disk drive back in 1956... with 5 MB of storage. In September 1956 IBM launched the 305 RAMAC, the first 'SUPER' computer with a hard disk drive (HDD). The HDD weighed over a ton and stored a 'whopping' 5 MB of data. The 1st computer was inverted in 1944, but history acknowledge Charles Babbage as the mechanical engineer who originated the concept of a programmable computer in 1844. Do you appreciate your 8 GB memory stick a little more now?

Watch your tongue...

After work last week Wednesday, I was on my way home when a woman driving an old ford cortina in front of me brushed a young girl driving a very clean Mercedes Benz c class (Discussion continues). ‪ ‪ This young girl came down from the car and started insulting the woman, who was old enough to at least be her mother or Auntie. ‪ ‪ All efforts by passers-by to pacify her proved abortive as she said the car was bought by her boyfriend... ‪ ‪ I just watched and sympathized with the woman. She told the girl she'd fix the car but it was already evening, getting late and she had no  money on her unless the girl followed her home if her hubby could help. ‪ ‪ The girl kept screaming as people tried to beg on behalf of the woman. The girl blatantly refused and decided to call her boyfriend saying: ‪ ‪ "Baby boy, a stupid woman just hit my car". ‪ ‪ The car he bought her. The man appeared in no minute ready to please his girlfriend by raining insult on

Bro Levis is no more...

Image
Marehemu Levis Msillo Lyaruu KUZALIWA 17-04-1954 KUFARIKI 14-08-2010 Familia ya Marehemu LEVIS MSILLO LYARUU wa Oysterbay Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa LEVIS MSILLO LYARUU kilichotokea 14/08/2010 katika hospitali ya Regency Upanga jijini Dar es Salaam. Ibada ya kuaga mwili wa marehemu itafanyika kanisa la MT. PETRO OYSTERBAY DAR ES SALAAM kuanzia saa sita mchana tarehe 18/08/2010 Ibada ya mazishi itafanyika kanisa la MT. BERNADETHA, POROKIA YA KILEMA 19/08/2010 na kufuatiwa na mazishi nyumbani kwa marehemu IMMI Ngagu Kilema Moshi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe Amina

Little Johnny again...

Little Johnny is walking down the hall when he hears a noise from his parents room. He knocks on the door and asks his mom what's going on. " Playing cards ," she replies. "Who's your partner?" asked little johnny. "Your father!"   Content with his answer, Little Johnny walks further down the hall towards his room when he hears the same noise coming from his sister's room. Again, he knocks on the door and asked his sister what was she doing. "Playing cards." "With who?" he asks. "My boyfriend!" she says. A short while later, Little Johnny's father is walking down the hall and hears a noise coming from Little Johnny's room.   He knocks on the door and asks "What are you doing?" "Playing cards!" replied Johnny. "Who's your partner?" asked his father... Little Johnny answers promptly, "With a hand like this who needs a partner?"

Siasa za BONGO... Mmmh!!! Sijui kama tutafika

Image
weka maneno mwenyewe...

Mr & Mrs Barack Obama

Image
Kwa kweli wanapendeza... na pozi wanalijua!!! tujifunzage wadau...

usafiri china...

Image
mtoto ndani ya kisado... bonge la mshikaki

Tiger Woods comments...

Image
mtoto wa kiume, akili ku-mkichwa... ukimwi ni hatari, unaua!!!

Chinesse food...

Image
A photograph purporting to show a 55ft snake found in a forest in China has become an internet sensation. The dead snake was 55ft (16.7m) long, weighed 300kg and was estimated to be 140 years old.