Posts

Showing posts from June, 2012

TGIF!!!

A Nigerian policeman arrested a man urinating at a place clearly marked “ Do not urinate here, fine N500 ” . The offender gives the policeman a N1000 note, The policeman turned around and said 'urinate again, I don't have the change...' _

Baadhi ya misosi iliyopo Singida...

Image
  Huo ni mchemsho wa kuku na chai au kahawa... hii ilikuwa jioni siku niliyoingia Singida rasmi. Hapo ni Lake Hill Hotel, iliyopo kilimani.   Kuku choma ikiwa katika maandalizi, juu na chini... hapo ni iliyokuwa NBC Club, Singida.   Baada ya kuku kuiva, ikiwa mezani tayari kuliwa juu na chini.   Hii ni nyama choma na kuku choma kwa ugali. Hapo ni Kirima   Hapo ni mnadani, nyama choma ikiandaliwa na chini ikiwa tayari mezani kwa kuliwa...   Mnada huwa unanoga sana, hasa kwa upande wa nyama choma... juu na chini...   Kuku choma jioni moja pale Mbacho...   Baada ya msosi, siku moja moja unashushia kutumia mvinyo... glasi moja ya mvinyo ni kama dawa. Husaidia kuondoa "kolestro", kuyeyusha chakula, nk...  Asubuhi kuna supu safi sana ya kuku (Singida kuku ni wa kienyeji tuu) na chapati. Hii ilikuwa Pale Lutheran Hostel. Mzee Wilson "Machare" Mosha ndio kijiwe chake kila mara akiwa Singida   Hii ni kuku iliyoandaliwa

What a busy world...

Image
 its a busy world, no quality time even within the family members...   Grabing a cup of coffee, people are busy...   Go to your local pub in your neighborhood!   Dine out at your favorite restaurant with favorite friends, same story...   Go to a live game   Relax at a beautiful park   Meet at a popular diner for private discussions...   Spend some time at the museum with friends...   Take a drive around town   Going out on a date... are they goggling? Go to the movies together

Mnadani, Singida...

Image
  Jana nilibahatika kutembelea moja ya minada ya Jumamosi mkoani Singida. Mnada huu upo njia panda ya Arusha na Dodoma ukitokea Down Town Singida. Picha ya juu inaonyesha barabara hiyoooo... Nachukua nafasi hii kuipongeza serikali yetu kwa dhati kabisa kwa juhudi kubwa za kuboresha miundombinu ya barabara. Kwa sasa kutoka Dodoma mpaka Singida ni lami tupu, kutoka Singida mpaka Arusha napo lami tupo. Mambo safi, ingawa bado zipo changamoto nyingine, ila kwa pamoja tutafika...  Njiani pande zote mbili za barabara kuna vyanzo vingi vya upepo unaoweza kutumika kutengenezea umeme. Kama picha ya juu na chini vinavyojionyesha. juu ya hivyo vilima vidogo vya mawe kuna upepo mkali sana.   Hapa tumeshaingia mnadani, tunapata nyama kiasi ya kuchoma, kwa walaji wa nyama watanielewa nikisema ilikuwa inavutia balaa! Frank Brown upo?   Pichani juu na chini unaona nyama zilivyo nyingi. Hapa mnadani inaonyesha ni pahala maarufu kwa wakazi wa Singida kujumuika kila Jumamosi, pia wenyej