watoto wa siku hizi...

Katika daladala katoto ka nursery kanaimba: “Baba angekuwa jogoo na mama mtetea, mi ningekuwa kifaranga”.

Watu kimya.

Akaendelea: “Baba angekuwa beberu na mama mbuzi, mi ningekuwa ndama”.

Konda kaona kanamzingua akakauliza: “Je, baba angekuwa mlevi na mama changudoa

we ungekuwa nani?”

Katoto kakajibu, “Si ningekuwa konda wa daladala?”

Comments

Popular posts from this blog

Kenneth Brumley wa texas "marekani"

TRA acts on fuel tax evasion

Killer House / Office Plant.