Kali ya J5...

Huku akionyesha katika ramani ya dunia iliyobandikwa ukutani, mtoto wa miaka mitano alimuuliza baba yake;


MTOTO: Baba, eti Brazil iko wapi?


BABA: Muulize mamako kwa maana yeye ndo mwenye tabia ya kufichaficha vitu humu ndani!

Comments

Popular posts from this blog

Police officers to have new-look uniforms

Kenneth Brumley wa texas "marekani"

TRA acts on fuel tax evasion