Ajali ya Mke wa mdau wetu...



Ajali hii ilitokea mkoani dar es salaam maeneo ya kunduchi siku chache zilizopita saa za asubuhi wakati wa pilika za kuwahi kazini. Chanzo cha ajali kinaaminika ni kuchomekewa na dala dala... 'sijui tutawafanyaje madereva wa dala dala, taksi na bajaj...'

POLE SANA MDAU NA MKE WAKO MPENDWA...

Comments

Popular posts from this blog

Kenneth Brumley wa texas "marekani"

Killer House / Office Plant.

The teenage girl who is allergic to WATER