Shughuli bila ndafu????



maeneo kama haya nikipata mwaliko ni aghalabu sana kukosa!

Comments

Anonymous said…
haha ni kweli shughuli bila ndafu hiyo siyo shughuli tena ukute ya wachaga duhh! wachaka mkeri kuuu lanyee
Anonymous said…
mtoto kwa nyama weye!
Papaa said…
Kaka Kamanda kwenye ndafu wewe noma..
ila nimepata kiu hii kitu imenifurahisha
Papaa Shaib

Popular posts from this blog

Police officers to have new-look uniforms

Kenneth Brumley wa texas "marekani"

TRA acts on fuel tax evasion