Wapare kwa ubahili...

Mpare mmoja akiwa katika shughuli zake za kawaida nyumbani kwake, ghafla akaporomoka kutoka ghorofani. Kabla hafika chini akampigia kelele mkewe akisema "MAMA NATUJWA, USIPIKE LEO. NITAKULA HOSPITALI.'

DUH!!!!

Comments

Anonymous said…
Unajua siku hiyo budget ilikaaa vibaya na sio bahati mbaya kuanguka gorofani it was meant to server cash....

Popular posts from this blog

Kenneth Brumley wa texas "marekani"

Killer House / Office Plant.

The teenage girl who is allergic to WATER