MSIBA BOKO: HERBERT MASANJA AFARIKI DUNIA

Ndugu Norbert Masanja anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake mpendwa, Ndugu Herbert Andrew Magatala Masanja (pichani juu) kilichotokea jana alfajiri katika hospitali kuu ya jeshi Lugalo. 

Msiba upo Boko Mbweni na mazishi yatafanyika katika makaburi ya Mbweni baada ya misa takatifu itakayofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Boko kesho Jumamosi tarehe 28 Novemba 2015 kuanzia saa nane mchana. 

kwa maelekezo zaidi piga 0767 / 0788 - 406661.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.