Nawashukuruni sana...

Kwa niaba ya wanajamii na wana-blogu wote, ningependa kuwatakieni heri ya sikukuu za xmas na mwaka mpya wa 2009. tuongeze ushirikiano na kuamshana kifikra, mawazo, kielimu nk, pia tuzidi kupigana tafu kila inapobidi... ahksanteni sana.

Comments

Unknown said…
kweli kichwangumutafu iwe ya uhakika maana mataifa ya pigana na hali uchumi ati ni mbaya

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.