Picha ya kufungulia mwaka 2010...


Kutoka kushoto ni Martha Luther Gelege na Mh. Jaji Pelagia Khaday. Huyu Jaji ananikumbusha nilipokuwa bado dogo... enzi hizo akiwa hakimu. Mama Jaji Hongera sana, umeweka mfano bora (role model) kwa sisi tunaokujua tangu tukiwa wadogo. 

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.