JK na Kaka...

Baada ya mechi kati ya timu ya taifa la Tanzania na Brazil, Rais wetu Mh. Dr. Jakaya M. Kikwete alimpatia mchezaji wa kulipwa wa timu ya taifa la Brazil Kaka zawadi ya kinyago. kama inavyoonyeshwa pichani. Wa kwanza kushoto kabisa ni rais wa TFF Nd. Leodgar Tenga. Katika mechi hiyo, Tanzania tulichapwa bao 5 - 1.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.