ATCL yazindua safari za kutoka Dar kwenda Kilimanjaro na Mwanza leo.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Ndugu Paul Chizi (kati) akikata utepe kuzindua safari za shirika hilo kutoka Dar kwenda Kilimanjaro na Mwanza leo kwa kutumia Boeing 737-500 inayoonekana kwa nyuma.
 
Ndugu Paul Chizi akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa safari hizo leo.
Nd. Paul Chizi akifurahia jambo na Nd. Fadhili Manoni (kushoto) wa TCAA na mdau mwingine wa safari za anga Tanzania (kulia) ambaye jina lake halikupatikana mara moja.
Wasafiri wakiwa safarini.
Salute kutoka Jeshi la Zimamoto.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.