Muwindo mgumu kwa msimu ulioisha!

Baada ya kurudi town bila chochote, nikalazimika kupitiliza mpaka kawe club kuitikia wito wa "nature"
Juu, kasungura kalikopatikana kwenye uwindaji wote!

Chini ni barabara rasmi za porini, nyakati zingine ilitulazimu kuingiza gari machakani!
 
Ndinga iliyotumika....
Alfajiri yake, cheki balance kwenye "clove box" endelea...
Barafu, Vinywaji na Mashine zimejilalia baada ya kukosa kazi, hawaonekani...

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.