Mr. President Barack Obama

Huyu Prezidaa ananifurahisha sana, ni wa kipekee. Wamarekani wengi watamkumbuka kwa vizazi vingi vijavyo. He has done a lot, in a short time, tena kwa staili ya ki-pekee, hii picha anaonekana akipasha "push-ups" na team inajipa "Big-Up" tayari kwa game. Hii picha inaweza kuwekewa maneno alfu moja na zaidi... he is incredible...

Comments

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...

HARUSI YA KAKA YETU ND. MOSES MUDONKO...