Misa ya Kumbukumbu: Jovin Shumbusho 6th Nov 2013 - 6th Nov 2014

Jovin Shumbusho 6th Nov 2013 - 6th Nov 2014

Ndugu zangu wapendwa, nawasalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai. Tukiwa tunafikia mwaka tangu kuitwa na Bwana kwa mpendwa Mume wangu Jovin, tunawakaribisha katika misa takatifu itakayofanyika tarehe 8 Novemba 2014 saa nne asubuhi katika kanisa katoliki la Makongo Juu. Baada ya misa kutakuwa na chakula cha mchana (lunch) nyumbani Makongo. Karibuni sana tushiriki misa hii takatifu. 

Roho ya milele umpe eeh Bwana na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. Amen. 

Eva Jovin Shumbusho, Mrs.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.