Plagiarism in action...

Tabia mbaya sana kuibia... ukizoea kuibia darasani hata maishani utaendelea kuibia kazi za wenzio bila hata kutoa shukrani! Unakuta mwandishi makini anayeheshimika anaiba kazi ya mtu na kuitangaza kama vile ni ya kwake. Tena bila hata kuelezea wasomaji wake kama hii nimeitoa mahala fulani... kuibia tuu! Ni tabia mbaya sana. KICHWANGUMU!

Comments

Popular posts from this blog

Police officers to have new-look uniforms

Kenneth Brumley wa texas "marekani"

TRA acts on fuel tax evasion