Chiku Haidari

Wadau, Leo ni siku ya kuzaliwa kwa ndugu yetu na rafiki wa karibu binti wa Haidari aitwaye Chiku.

Napenda kuchukua nafasi hii kumtakia mafanikio na maisha marefu hapa duniani. Mwenyezi Mungu amjalie apate walau mapacha wanne.

Happy Birthday to you Chiku Haidari

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.