Kimbembe cha wastaafu wa EAC leo asubuhi





wastaafu wa jumuiya ya afrika mashariki wakiwa katika harakati za kudai malipo yao leo asubuhi. hapa walizuia magari yasipite eneo la daraja la salenda bridge. ilikuwa bonge la mbinde... lakini hatimaye walikubali kuondoka baada ya mkuu wa mkoa wa dsm, mh abbas kandoro kuongea nao.

habari zaidi baadae...

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.