Mambo ya wakati...



Waswahili husema 'mambo huenda yakibadilika', na usemi mwingine ni 'mambo mazuri hayataki haraka' na mingine mingi tuu. semi hizi zimethihirika hivi karibuni ndani ya 'white house' anapoishi raisi wa marekani yote. kwa mara ya kwanza katika historia wamealikwa wanafamilia ya Bob Marley, yaani Rita Marley na mwane Ziggy. (Pichani juu), haya ni mabadiliko mazuri sana... KICHWANGUMU.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.