Wafunga ndoa baada ya kuzaa watoto kumi.




Baada ya kuzaa jumla ya watoto 10 katika kipindi cha miaka 12, Rachael Savory hatimaye alivaa shela na kufunga ndoa na bwana Jay Wong huku watoto wao 10 wakiwa ndio wapambe baada ya harusi yao kuahirishwa mara kwa mara kwa miaka kadhaa. GONGA HAPA kwa habari kamili.

Comments

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...

HARUSI YA KAKA YETU ND. MOSES MUDONKO...