Msaada kiaina...

KUNA MDAU KAOMBA SANA NIMTOLEE MASWALI YAKE YANAYOMTATIZA... AMEOMBA EMAIL TUBANE... WADAU TUNASUBIRI MAJIBU.

1. Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi?
2. Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa, kwanini bar kuna parking?
4. Kama neno ‘abbreviation’ linamaanisha ufupisho, kwanini lenyewe ni refu hivyo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwanini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa?

KAZI KWENU...

Comments

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...

HARUSI YA KAKA YETU ND. MOSES MUDONKO...