Kweli tumetoka mbali...

wadau mnakumbuka enzi hizi? hapo umechelewa shule, umekosa namba, mwalimu wa zamu amekomaa... ikitokea bahati mwalimu wa zamu ni mshirika wako na somo lake unafumua kinoma, hapo hukai!!! kweli historia muhimu... "utajifunzaje????"

Comments

Popular posts from this blog

Killer House / Office Plant.

Taarifa za msiba...

Kenneth Brumley wa texas "marekani"