Tajiri kanunua Mbuzi...

Tajiri kanunua mbuzi!
Akamwambia mpishi!
Nyama nusu ipike pilau na nyingine itie kwenye friza!
Kichwa fanya supu na miguu fanya mchuzi chukuchuku!
Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pika na ndizi!
Na mifupa tutawauzia wenye mbwa!
 
Mpishi akamuliza:
“Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako?”

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.