Hahahaaa, this is a good one!

kuna usemi kwamba, "mwanamke mwerevu huijenga nyumba yake naye mjinga huibomoa" hebu mtujuze wenye uzoefu... maana haka ka-day care center nimekapenda!!!! DUH...

Comments

Liu said…
Actually sio kama nishawahi kwenda kupata huduma zao lakini niliwahi kupaona. Sehemu yenyewe ipo pale karibu na nanihii mita kama mia mbili hivi upande wa kushoto opposite na jengo la nanihii kama unatokea mjini. Kama kweli unataka kufika, mwambie my waifu wako anipigie simu nimuelekeze maana yeye ndo anapaswa kukupeleka.
+255 719 60 97 51
bongotambarare said…
KARIBU SANA... WASOMAJI HUSIKA WENYE SHIDA HUSIKA WATAHUSIKA KUWASILIANA NAWE KWA SHIDA HUSIKA!

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...

HARUSI YA KAKA YETU ND. MOSES MUDONKO...