Habari Nyepesi Nyepesi... Kujivua Gamba!

Tumezipata muda mfupi uliopita... Mbunge wa Igunga Nd. Rostam Aziz amejiuzulu ubunge, Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na kurudisha kadi ya Chama... hotuba yake ya kujivua gamba aliisoma mbele ya wazee wa mkoa wa Tabora, leo!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.