Siasa bana... "it's a dirty game!"

Siasa noma sana. Pichani kushoto ni picha inayomwonyesha raisi wa Marekani Nd. Barack Obama akishughulikia kimbunga "irene" baada ya kuahirisha shughuli zake! Hii ni kweli? au ni kutaka kupata "sympathy" ya wananchi wa amerika? to date i don't understand politics and politicians. mainly because of there decisions... wanasia wanaweza kuamua kitu utafikiri hawakusoma!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.