Mh. Rais Jakaya M. Kikwete

Mkuu wetu wa kaya akiagwa na mhudumu wa hoteli aliyofikia wakati akiwa na ziara ya kikazi nchini marekani hivi karibuni. Kushoto ni Mh. Bernard Membe (Waziri wa mambo ya nje) na nyuma ya mhudumu ni wasaidizi wa Mh. Jakaya M. Kikwete. Zaidi ya maelezo hayo niliyotoa, unaweza kupata maelezo gani ya ziada? Nasubiri maoni. 

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.