Akili M-Badala...

 Kama ni daraja bovu, basi una-adjust kwa muda...
 kama ni swimming pool, pia tuna-adjust kimtindo... unacheka nini sasa?
 unampenda sana dogi wako na hana nafasi kwenye gari... tuna-adjust... kama kawa!
 kausingizi ka mchana baada ya wali harage na maji kubwa... tuna-adjust kwa muda!
 bomba nalo likileta zengwe... tuna-adjust!
mkono unachoka kushika kipanya... tuna-adjust... sasa tufanyaje?
kama hakuna jeki na tairi lazima itoke, tuna-adjust kipande cha mti na maisha mswano!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.