Hali ngumu...


Jamaa alipita sehemu isiyoruhusiwa katika kambi ya jeshi na akapewa adhabu ya kuhamisha tofali 1000!
Jamaa akajitahidi akabeba tofal 900 na akawa hoi!Na ghafla akakumbuka kuwa mkuu wa kambi ni rafik yake wamesoma wote,akampigia simu.

Jamaa,"mkuu,vijana wako wamenipa adhabu ya kuhamisha matofali 1000!"

Mkuu,"hao wajinga kweli hawajui tunavyofahamiana!Wasikusumbue,mi ndo mkuu wao.Zirudishe palepale zilipokuwa mwanzo halafu uje ofisini tuonane."

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.