Wachina Noma...

Sasa wametuletea vyoo vya ndani ya gari. kwa foleni zetu za dar, huwezi kujua... yawezekana ukahitaji huduma ukiwa bado safarini. hasa siku za mwisho wa wiki au baada ya saa za kazi. wapo jamaa zangu wanakaa ununio lakini starehe wanafanyia mbagala, unategemea nini wakati anarudi 'home' kutokea mbagala?!?!?!?!?!...



Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.