Huwezi amini, amejisaidia haja ndogo barabarani mchana kweupeee!

 kwa mbaaaliiii ndo anaanza...
 anakaribia...
 maandalizi yamekammilika....
anaumwaga!!!!!!!!!!!!!!
Sasa hapa kinachokosekana ni ustaarabu, maadili au ndio tukubali mswahili ngozi ya nanihii! Maana katika mazingira hayo sijui mdau atamlaumu nani. Lakini labda alibanwa sana, maana haja ndogo ikibana ni soo! ila mcharuko wa tumbo  ni noma zaidi, usipime!... DUH!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.