Mbagala nourmer...

Na Chiku Haidari, DSM. 
 
Wakati watu wanagombania kupanda kwenye basi la Mbagala kama kawaida yao, bibi mmoja alipanda bila shida akapata siti. Baada ya muda konda akamuuliza "bibi unalia nini sasa?" Bibi akajibu "ninalia kwa furaha sababu miaka yote 25 niliyoishi Mbagala sijawahi kupata siti" konda akamshangaa kisha akamwambia "Haya bibi pisha siti ya dereva hiyo"

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.