Wazee bakhili noma sana...

Na Chiku Haidari, DSM.
Bakhili muuza duka alimuona mwanawe anaangalia sana shampoo kwenye shelf, Basi baba alipofunga duka akamchukua mwanawe kwa kinyozi akaamuru anyolewe kipara.......
 
Mtoto aliporudi nyumbani akamweleza mamake kisa chote kwamba katizama shampoo kanyolewa nywele kipara: Mama akamwambia mtoto shukuru una bahati, laiti ungetizama dawa ya meno ungen'golewa meno yote.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.