Kamanda Kova (pichani) aja na mpya kwa Dar


kamanda wa kanda maalumu ya kipolisi mkoa wa dar afande suleiman kova wiki hii ametoa wazo kwamba ili kusaidia kupambana na uhalifu kamera za cctv ziwekwe kwenye kila gesti na hoteli ili kila anayeingia humo ajulikane na kama ni mhalifu iwe rahisi kumnasa. wadau hii imekaaje?

hakuishia hapo. pia kamanda kova ametoa hadharani namba yake ya simu ya kiganja anbayo ni +255754034224 ili wadau wampigie muda wowote kutoa taarifa za uhalifu

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.