Mahusiano katika picha kwa ujumla...

Je, ni kweli wanaume ni ama ndio au hapana? (on or off) hakuna longo longo... na ubavu wako (yaani mkeo au mwandani wako) ni hadithi kibao... tunning za kumwaga na bado huna hakika kama umepatia!!!


hii inaka-ukweli... umeshawahi kumsindikiza bibie shopping? kama ni mtu wa kilaji lazima u-paki pahala uendelee na yeye aendelee na mizunguko ya shopping then akimaliza akukute!!! sijui ni kwanini wanakuwa wazito sana kwenye maamuzi. hasa "shopping"... kunani? NAWAKILISHA...
Comments