watoto wa siku hizi...

Katika daladala katoto ka nursery kanaimba: “Baba angekuwa jogoo na mama mtetea, mi ningekuwa kifaranga”.

Watu kimya.

Akaendelea: “Baba angekuwa beberu na mama mbuzi, mi ningekuwa ndama”.

Konda kaona kanamzingua akakauliza: “Je, baba angekuwa mlevi na mama changudoa

we ungekuwa nani?”

Katoto kakajibu, “Si ningekuwa konda wa daladala?”

Comments

Popular posts from this blog

Killer House / Office Plant.

Taarifa za msiba...

Kenneth Brumley wa texas "marekani"