Ngorongoro crater na ukame...

Fisi akitanua ndani ya maeneo yake ya kujidai kwenye hifadhi ya Ngorongoro crater, unaweza kujionea jinsi ukame ulivyoikumba crater yetu. Ni hali ya hatari sana. Tuzingatie maadili ya utunzaji mazingira na upandaji miti. Picha ya chini anaonekana 'mdudu' Ngiri akitafuta chakula, sasa sijui hapo anakula udongo au ndo kudunduliza majani?

Hapa ndio getini, ukitoka hapa kuna urefu kiasi na kuingia crater. kwa watalii tuu tunajitahidi, ila tunahitaji kuongeza badii ili tutambulike zaidi na kuzuia watani wetu kujineemesha kwa vyanzo vyetu.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.