Obama na Berlusconi...


Raisi Barack Obama wa Marekani akiteta na waziri mkuu wa Italia Silvio Berlusconi. hapa ni ndani ya 'oval' office Washington DC. picha hii ni ya siku za nyuma wakati Berlusconi akiwa ziarani Marekani kabla ya tukio la kupigwa hivi karibuni.

Comments

Popular posts from this blog

Killer House / Office Plant.

Taarifa za msiba...

Kenneth Brumley wa texas "marekani"