Wapare kwa ubahili...

Mpare mmoja akiwa katika shughuli zake za kawaida nyumbani kwake, ghafla akaporomoka kutoka ghorofani. Kabla hafika chini akampigia kelele mkewe akisema "MAMA NATUJWA, USIPIKE LEO. NITAKULA HOSPITALI.'

DUH!!!!

Comments

Anonymous said…
Unajua siku hiyo budget ilikaaa vibaya na sio bahati mbaya kuanguka gorofani it was meant to server cash....

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...

HARUSI YA KAKA YETU ND. MOSES MUDONKO...