Wapare kwa ubahili...

Mpare mmoja akiwa katika shughuli zake za kawaida nyumbani kwake, ghafla akaporomoka kutoka ghorofani. Kabla hafika chini akampigia kelele mkewe akisema "MAMA NATUJWA, USIPIKE LEO. NITAKULA HOSPITALI.'

DUH!!!!

Comments

Anonymous said…
Unajua siku hiyo budget ilikaaa vibaya na sio bahati mbaya kuanguka gorofani it was meant to server cash....

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.