Bwenga nao...

Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari bingwa sasa!

Muchunguzi:Ee Albert kumbe ni mtaaram.

Rweyongeza: aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa!

Rugaimukamu:mmmm

(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )

Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu, sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa, yeye ni nani?

Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!

Comments

Anonymous said…
hahahaa duh hahahhhhhhhaaaaaaaaaaaaa..wagonjwa walioshindikana kwa madaktari hahahahaaa

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.