Bwenga nao...

Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari bingwa sasa!

Muchunguzi:Ee Albert kumbe ni mtaaram.

Rweyongeza: aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa!

Rugaimukamu:mmmm

(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )

Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu, sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa, yeye ni nani?

Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!

Comments

Anonymous said…
hahahaa duh hahahhhhhhhaaaaaaaaaaaaa..wagonjwa walioshindikana kwa madaktari hahahahaaa

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...