UVUMILIVU AFRICA: Is it a Compliment ?

Mkanganyiko wa matukio kabla na baada ya uchaguzi TZ umenikumbusha ujumbe wa waziri wa mambo ya nje Denmark. Katika mkutano wake na wasomi wa chuo kikuu (CBS), Waziri huyu aliulizwa ni kitu gani cha pekee anaweza kujifunza kutoka Africa.
Jibu lake lilikuwa ni UVUMILIVU. Anasema africa tunavumilia vitu ambavyo haviwezi kuvumiliwa kokote duniani. "Africans are exceptionally tolerant". Is this a compliment ?
 
Source: JamiiForum

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.