Kiwango cha elimu kitakua kweli?!?!?!?1,....

Wanafunzi wa darasa la saba wakiwa katika mtihani wao wa mwisho kumaliza elimu ya msingi! Hivi wadau, jiulizeni... watoto hawa walisomea wapi? walikuwa na mafunzo kwa vitendo? walipata vitabu na maktaba ya kusomea? maana darasa lao la kufanyia mtihani wa mwisho ni ishara kwamba hapo kiwango cha elimu kinatia shaka! TAFAKARI...

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.