Ramadhan Karim...

Leo ndugu zetu wa dini ya Kiislamu ulimwenguni kote wanaanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hii ni moja ya nguzo kuu za dini ya kiislamu. Napenda kuchukua nafasi hii, kuwatakia kila la kheri katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. 

Ramadhan Karim...   KICHWANGUMU.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.