Plagiarism in action...

Tabia mbaya sana kuibia... ukizoea kuibia darasani hata maishani utaendelea kuibia kazi za wenzio bila hata kutoa shukrani! Unakuta mwandishi makini anayeheshimika anaiba kazi ya mtu na kuitangaza kama vile ni ya kwake. Tena bila hata kuelezea wasomaji wake kama hii nimeitoa mahala fulani... kuibia tuu! Ni tabia mbaya sana. KICHWANGUMU!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.