MSIBA.

Habari zilizoingia saa hii hii, ni kwamba Capt Mazula (wa ATCL) amefariki dunia. Alikuwa mgonjwa, akafanyiwa upasuaji wa mgongo, bahati mbaya hakuamka. Tunafuatilia kwa karibu habari hizi ili tuwaletee utaratibu mzima wa mipango ya mazishi.

Natanguliza pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, pamoja na wafanyakazi wenzake wa ATCL.

Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi. Amen

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.