Incridible India...


 Hii ndio hali ya kawaida ya usafiri kunako Mumbai...
Bajaj imeshona mtu mpaka nyuma kabisa... unaona mdau alivyojikunja nyuma hapo! Thats India...
 Haki za wanyama wanajali sana...
 Kwa India, Honi ni muhimu sana... wenyewe wanasema "Horn is highly encouraged!" piga sana honi barabarani. Ndo maana hata wakiwa huku wanapiga sana kelele...
 Ndo hivyo tena... usingizi! kuna baadhi ya mitaa huwa inafungwa usiku watu walale... huyu inaelekea yupo nje ya duka akiwa na mlinzi mwenzake!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.