'asusa' ya dezo iringa



Je hii ni halali? Majuzi mkazi mmoja wa Iringa alikuta Mbwa Kagongwa Katikati ya Barabara na yeye akakimbilia kisu na kumvuta mbwa pembeni mwa barabara na kuanza kumchuna kwa ajili ya kitoweo. Kuna wapita njia alitaka kumpiga kwa kitendo hicho cha, wengine wakaishia kumkodolea macho tu, tena wengine watoto wadogo. Hii imekaaje?
Mdau Iringa


Habari kwa hisani ya Issa Michuzi Blogu

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.