'asusa' ya dezo iringa



Je hii ni halali? Majuzi mkazi mmoja wa Iringa alikuta Mbwa Kagongwa Katikati ya Barabara na yeye akakimbilia kisu na kumvuta mbwa pembeni mwa barabara na kuanza kumchuna kwa ajili ya kitoweo. Kuna wapita njia alitaka kumpiga kwa kitendo hicho cha, wengine wakaishia kumkodolea macho tu, tena wengine watoto wadogo. Hii imekaaje?
Mdau Iringa


Habari kwa hisani ya Issa Michuzi Blogu

Comments

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...

HARUSI YA KAKA YETU ND. MOSES MUDONKO...