ndoto za wanyama...


Hawa binadamu wanavyonionea... katanitambua haka leo!


Eti wanaita 'zebra crossing' kwanini wasitumie majina yao na picha zao kama hivi!


'daddy inapendezaaaa' katoto kanamwambia dingi yake!


siku zote nabahatisha, leo nimepata kitabu! watanitambua...

Comments

Popular posts from this blog

Taarifa za msiba...

HARUSI YA KAKA YETU ND. MOSES MUDONKO...