Ndege na fikra zenye hisia...



Amerudi na chakula, anamlisha mkewe kwa upendo wa dhati na kuuguza.



Amerudi mara ya pili na chakula anakuta mwenzake amekufa, haamini, anamtingisha aamke!



Analia kwa uchungu baada ya kugundua mwenzake amekufa kweli.



Kasimama pembeni akiendelea kulia...



Anagundua hata akilia vipi, mkewe hawezi kurudi kwenye uhai. Anaendelea kuomboleza!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.